Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 13:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 na nchi wanayoikaa kama ni nzuri au mbaya na kama wanakaa katika kambi au katika ngome;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Pelelezeni kama nchi hiyo ni nzuri au mbaya, na kama miji wanamoishi ni kambi au ni nyumba zilizozungukwa na ngome.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Pelelezeni kama nchi hiyo ni nzuri au mbaya, na kama miji wanamoishi ni kambi au ni nyumba zilizozungukwa na ngome.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Pelelezeni kama nchi hiyo ni nzuri au mbaya, na kama miji wanamoishi ni kambi au ni nyumba zilizozungukwa na ngome.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Wanaishi katika nchi ya namna gani? Je, ni nzuri au mbaya? Wanaishi katika miji ya namna gani? Je, haina kuta au ngome?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Wanaishi katika nchi ya namna gani? Je, ni nzuri au mbaya? Wanaishi katika miji ya namna gani? Je, haina kuta au ngome?

Tazama sura Nakili




Hesabu 13:19
3 Marejeleo ya Msalaba  

nami nimeshuka ili niwaokoe kutoka kwa mikono ya Wamisri, niwapandishe kutoka nchi ile, hadi nchi njema, kisha pana; nchi itiririkayo maziwa na asali; hata mahali pa Mkanaani, na Mhiti, na Mwamori, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi.


mkaitazame nchi ni ya namna gani; na watu wanaokaa ndani yake, kama ni wenye nguvu au dhaifu, kama ni wengi au wachache;


nayo nchi ni ya namna gani, kama ni nchi ya utajiri au ya umaskini; kama ina misitu au haina. Kuweni na mioyo ujasiri, mkayalete matunda ya nchi. Basi wakati ule ulikuwa wakati wa kuiva zabibu za kwanza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo