Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 11:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

33 Kisha hapo hiyo nyama ilipokuwa ikali kati ya meno yao, hawajaitafuna bado, hasira za BWANA ziliwaka juu ya watu, BWANA akawapiga watu kwa pigo kuu mno.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Kulipokuwa bado kuna nyama kwa wingi na kabla watu hawajawamaliza kuila, Mwenyezi-Mungu aliwakasirikia watu, akawapiga watu kwa pigo kubwa sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Kulipokuwa bado kuna nyama kwa wingi na kabla watu hawajawamaliza kuila, Mwenyezi-Mungu aliwakasirikia watu, akawapiga watu kwa pigo kubwa sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Kulipokuwa bado kuna nyama kwa wingi na kabla watu hawajawamaliza kuila, Mwenyezi-Mungu aliwakasirikia watu, akawapiga watu kwa pigo kubwa sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Lakini walipokuwa wakila nyama, ilipokuwa ingali kati ya meno yao na kabla hawajamaliza kula, hasira ya Mwenyezi Mungu ikawaka dhidi ya watu, naye akawapiga kwa tauni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Lakini walipokuwa wakila nyama, ilipokuwa ingali kati ya meno yao na kabla hawajamaliza kula, hasira ya bwana ikawaka dhidi ya watu, naye akawapiga kwa tauni.

Tazama sura Nakili




Hesabu 11:33
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ingawa hawataki kuuachilia uende zake. Naye huushikilia kinywani mwake;


Hapo atakapo kulijaza tumbo lake, Mungu atamtupia ukali wa ghadhabu zake, Na kuunyesha juu yake akiwa anakula.


Aliuelekeza upepo wa mashariki kuvuma toka mbinguni; Na kwa uweza wake akauongoza upepo wa kusini.


Wakala wakashiba sana; Maana aliwaletea walivyovitamani;


Basi waliokufa kwa tauni walikuwa elfu kumi na nne na mia saba, zaidi ya hao waliokufa katika jambo la Kora.


Basi Musa akafanya hivyo; kama BWANA alivyomwagiza, ndivyo alivyofanya.


Nao waliokufa kwa pigo hilo idadi yao ilikuwa elfu ishirini na nne.


BWANA atakupiga kwa majipu ya Misri, na kwa bawasiri, na kwa pele, na kwa kujikuna, ambayo hupati kupoa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo