Hesabu 11:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC29 Musa akamwambia, Je! Umekuwa na wivu kwa ajili yangu; ingekuwa heri kama watu wote wa BWANA wangekuwa manabii na kama BWANA angewatia roho yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Lakini Mose akamjibu, “Je, unaona wivu kwa ajili yangu? Laiti Mwenyezi-Mungu angewapa watu wake wote roho yake nao wakawa manabii!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Lakini Mose akamjibu, “Je, unaona wivu kwa ajili yangu? Laiti Mwenyezi-Mungu angewapa watu wake wote roho yake nao wakawa manabii!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Lakini Mose akamjibu, “Je, unaona wivu kwa ajili yangu? Laiti Mwenyezi-Mungu angewapa watu wake wote roho yake nao wakawa manabii!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Lakini Musa akajibu, “Je, unaona wivu kwa ajili yangu? Ningetamani watu wote wa Mwenyezi Mungu wangekuwa manabii na kwamba Mwenyezi Mungu angeweka Roho yake juu yao!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Lakini Musa akajibu, “Je, unaona wivu kwa ajili yangu? Ningetamani watu wote wa bwana wangekuwa manabii na kwamba bwana angeweka Roho yake juu yao!” Tazama sura |