Hesabu 11:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC28 Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Musa tangu ujana wake, akajibu akasema, Ee bwana wangu Musa, uwakataze. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Hapo, Yoshua, mwana wa Nuni, ambaye alikuwa msaidizi wa Mose tangu ujana wake, akamwambia Mose, “Bwana wangu, wakataze!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Hapo, Yoshua, mwana wa Nuni, ambaye alikuwa msaidizi wa Mose tangu ujana wake, akamwambia Mose, “Bwana wangu, wakataze!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Hapo, Yoshua, mwana wa Nuni, ambaye alikuwa msaidizi wa Mose tangu ujana wake, akamwambia Mose, “Bwana wangu, wakataze!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 Yoshua mwana wa Nuni, aliyekuwa msaidizi wa Musa tangu ujana wake, akajibu, akasema, “Musa bwana wangu, wanyamazishe!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 Yoshua mwana wa Nuni, ambaye alikuwa msaidizi wa Musa tangu ujana wake, akajibu akasema, “Musa bwana wangu, wanyamazishe!” Tazama sura |