Hesabu 10:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC36 Tena hapo liliposimama, akasema, Ee BWANA, uwarudie maelfu kumi ya maelfu ya Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema36 Na kila wakati liliposimama, Mose alisema, “Warudie, ee Mwenyezi-Mungu, hawa maelfu na maelfu ya Israeli.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND36 Na kila wakati liliposimama, Mose alisema, “Warudie, ee Mwenyezi-Mungu, hawa maelfu na maelfu ya Israeli.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza36 Na kila wakati liliposimama, Mose alisema, “Warudie, ee Mwenyezi-Mungu, hawa maelfu na maelfu ya Israeli.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu36 Wakati wowote Sanduku liliposimama, alisema, “Ee Mwenyezi Mungu, rudi, kwa maelfu ya Waisraeli wasiohesabika.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu36 Wakati wowote Sanduku liliposimama, alisema, “Ee bwana, rudi, kwa maelfu ya Waisraeli wasiohesabika.” Tazama sura |