Hesabu 1:51 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC51 Tena hapo maskani itakapokwenda mbele, Walawi wataishusha; tena hapo maskani itakaposimamishwa, Walawi wataisimamisha; na mgeni atakayekaribia atauawa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema51 Tena wakati wa hema kungolewa Walawi ndio watakaolingoa na wakati wa hema kusimikwa Walawi ndio watakaolisimamisha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND51 Tena wakati wa hema kungolewa Walawi ndio watakaolingoa na wakati wa hema kusimikwa Walawi ndio watakaolisimamisha. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza51 Tena wakati wa hema kung'olewa Walawi ndio watakaoling'oa na wakati wa hema kusimikwa Walawi ndio watakaolisimamisha. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu51 Wakati wowote Maskani inapohamishwa, Walawi wataifungua, na wakati wowote Maskani inapotakiwa kusimamishwa, Walawi watafanya kazi hiyo. Mtu yeyote mwingine ambaye atasogea karibu nayo atauawa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu51 Wakati wowote Maskani inapohamishwa, Walawi wataifungua, na wakati wowote maskani inapotakiwa kusimamishwa, Walawi watafanya kazi hiyo. Mtu yeyote mwingine ambaye atasogea karibu nayo atauawa. Tazama sura |