Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 1:49 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

49 Hilo kabila la Lawi tu usilihesabu, wala usiitie hesabu yao katika wana wa Israeli;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

49 “Usihesabu kabila la Lawi wala usiwafanyie sensa kati ya watu wa Israeli;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

49 “Usihesabu kabila la Lawi wala usiwafanyie sensa kati ya watu wa Israeli;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

49 “Usihesabu kabila la Lawi wala usiwafanyie sensa kati ya watu wa Israeli;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

49 “Kamwe usihesabu kabila la Lawi wala kuwaweka pamoja katika hesabu ya Waisraeli wengine.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

49 “Kamwe usihesabu kabila la Lawi wala kuwaweka pamoja katika hesabu ya Waisraeli wengine.

Tazama sura Nakili




Hesabu 1:49
3 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa BWANA alinena na Musa, na kumwambia,


Lakini Walawi hawakuhesabiwa katika wana wa Israeli; kama BWANA alivyomwagiza Musa.


Na hao waliohesabiwa kwao walikuwa elfu ishirini na tatu, kila mwanamume tangu huyo aliyepata umri wa mwezi mmoja, na zaidi; kwa kuwa hawakuhesabiwa katika wana wa Israeli, kwa sababu hawakupewa urithi katika wana wa Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo