Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Hekima ya 1:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Maana hekima ni roho ambayo huwapenda wanadamu, wala haimwachilii mkufuru hatia ya midomo yake; kwa sababu Mungu huvishuhudia viuno vyake, na kuusimamia hasa moyo wake, na kuusikiliza ulimi wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Hekima ana moyo wa huruma; lakini hatamsamehe yeyote anayemkufuru Mungu. Mungu ajua yote: Hisia zetu na fikira zetu; husikia kila neno tusemalo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Hekima ana moyo wa huruma; lakini hatamsamehe yeyote anayemkufuru Mungu. Mungu ajua yote: hisia zetu na fikira zetu; husikia kila neno tusemalo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Maana hekima ni roho ambayo huwapenda wanadamu, wala haimwachilii mkufuru hatia ya midomo yake; kwa sababu Mungu huvishuhudia viuno vyake, na kuusimamia hasa moyo wake, na kuusikiliza ulimi wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

6 Hekima ana moyo wa huruma; lakini hatamsamehe yeyote anayemkufuru Mungu. Mungu ajua yote: Hisia zetu na fikira zetu; husikia kila neno tusemalo.

Tazama sura Nakili




Hekima ya 1:6
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo