Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Hekima ya 1:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Lakini wanadamu wasio haki, kwa mikono yao na kwa maneno yao, walijiitia mauti; wakaifanya rafiki, wakadhoofu; wakaagana nayo kwa sababu wamestahili kutiwa katika fungu lake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Lakini wasiomcha Mungu hukaribisha kifo kwa matendo na maneno yao, hufanya urafiki na kifo na kufanya mkataba pamoja nacho; sasa wanastahili kuwa mateka wake!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Lakini wasiomcha Mungu hukaribisha kifo kwa matendo na maneno yao, hufanya urafiki na kifo na kufanya mkataba pamoja nacho; sasa wanastahili kuwa mateka wake!

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Lakini wanadamu wasio haki, kwa mikono yao na kwa maneno yao, walijiitia mauti; wakaifanya rafiki, wakadhoofu; wakaagana nayo kwa sababu wamestahili kutiwa katika fungu lake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

16 Lakini wasiomcha Mungu hukaribisha kifo kwa matendo na maneno yao, hufanya urafiki na kifo na kufanya mkataba pamoja nacho; sasa wanastahili kuwa mateka wake!

Tazama sura Nakili




Hekima ya 1:16
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo