Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Hekima ya 1:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Jihadharini, basi, na manung'uniko yasiyofaa, na kujizuia ndimi zenu na masingizio; madhali neno linenwalo kwa siri haliendelei bure, na kinywa kisemacho uongo huiangamiza roho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Kwa hiyo jihadharini na manunguniko ya bure, epukeni kusema uchongezi. Mungu husikia hata nunguniko la siri kabisa. Asemaye uongo huiangamiza roho yake mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Kwa hiyo jihadharini na manung'uniko ya bure, epukeni kusema uchongezi. Mungu husikia hata nung'uniko la siri kabisa. Asemaye uongo huiangamiza roho yake mwenyewe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Jihadharini, basi, na manung'uniko yasiyofaa, na kujizuia ndimi zenu na masingizio; madhali neno linenwalo kwa siri haliendelei bure, na kinywa kisemacho uongo huiangamiza roho.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

11 Kwa hiyo jihadharini na manunguniko ya bure, epukeni kusema uchongezi. Mungu husikia hata nunguniko la siri kabisa. Asemaye uongo huiangamiza roho yake mwenyewe.

Tazama sura Nakili




Hekima ya 1:11
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo