Hagai 2:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Kisha neno la BWANA likamjia Hagai mara ya pili, siku ya ishirini na nne ya mwezi, kusema, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Siku hiyohiyo ya ishirini na nne, mwezi wa tisa, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Hagai mara ya pili: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Siku hiyohiyo ya ishirini na nne, mwezi wa tisa, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Hagai mara ya pili: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Siku hiyohiyo ya ishirini na nne, mwezi wa tisa, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Hagai mara ya pili: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Neno la Mwenyezi Mungu likamjia Hagai kwa mara ya pili katika siku ya ishirini na nne ya mwezi kusema: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Neno la bwana likamjia Hagai kwa mara ya pili katika siku ya ishirini na nne ya mwezi kusema: Tazama sura |