Habakuki 2:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Umejaa aibu badala ya utukufu; unywe nawe, uwe kama mtu asiyetahiriwa; kikombe cha mkono wa kulia wa BWANA kitageuzwa ukipokee, na aibu kuu itakuwa juu ya utukufu wako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Utajaa aibu badala ya heshima. Utakunywa wewe mwenyewe na kupepesuka! Mwenyezi-Mungu mwenyewe atakulevya, na aibu itaifunika heshima yako! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Utajaa aibu badala ya heshima. Utakunywa wewe mwenyewe na kupepesuka! Mwenyezi-Mungu mwenyewe atakulevya, na aibu itaifunika heshima yako! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Utajaa aibu badala ya heshima. Utakunywa wewe mwenyewe na kupepesuka! Mwenyezi-Mungu mwenyewe atakulevya, na aibu itaifunika heshima yako! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Utajazwa na aibu badala ya utukufu. Sasa ni zamu yako! Kunywa na ujifunue! Kikombe kutoka mkono wa kuume wa Mwenyezi Mungu kinakujia, na aibu itafunika utukufu wako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Utajazwa na aibu badala ya utukufu. Sasa ni zamu yako! Kunywa na ujifunue! Kikombe kutoka kwenye mkono wa kuume wa bwana kinakujia, na aibu itafunika utukufu wako. Tazama sura |