Habakuki 2:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Angalieni; je! Jambo hili halikutoka kwa BWANA wa majeshi, kwamba watu wajishughulikie moto, na mataifa wajisumbue kwa ajili ya ubatili? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Mwenyezi-Mungu wa majeshi husababisha juhudi za watu zipotelee motoni, na mataifa yajishughulishe bure. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Mwenyezi-Mungu wa majeshi husababisha juhudi za watu zipotelee motoni, na mataifa yajishughulishe bure. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Mwenyezi-Mungu wa majeshi husababisha juhudi za watu zipotelee motoni, na mataifa yajishughulishe bure. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Je, Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni hakuonesha kwamba kazi ya wanadamu ni mafuta tu kwa ajili ya moto, na kwamba mataifa yanajichosha bure? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Je, bwana Mwenye Nguvu Zote hakuonyesha kwamba kazi ya wanadamu ni mafuta tu kwa ajili ya moto, na kwamba mataifa yanajichosha bure? Tazama sura |