Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Habakuki 2:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Kwa maana jiwe litapiga kelele katika ukuta, nayo boriti katika miti italijibu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Ndiyo maana hata mawe yatalalamika ukutani, na boriti za nyumba zitayaunga mkono.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Ndiyo maana hata mawe yatalalamika ukutani, na boriti za nyumba zitayaunga mkono.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Ndiyo maana hata mawe yatalalamika ukutani, na boriti za nyumba zitayaunga mkono.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Mawe ya kuta yatapiga kelele, na mihimili ya kazi ya mbao itarudisha mwangwi wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Mawe ya kuta yatapiga kelele, na mihimili ya kazi ya mbao itarudisha mwangwi wake.

Tazama sura Nakili




Habakuki 2:11
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi.


Mioyo yao ilimlilia Bwana; Ee ukuta wa binti Sayuni! Machozi na yachuruzike kama mto Mchana na usiku; Usijipatie kupumzika; Mboni ya jicho lako isikome.


Akajibu, akasema, Nawaambia ninyi, wakinyamaza hawa, mawe yatanena kwa sauti kuu.


na Yesu mjumbe wa agano jipya, na damu ya kunyunyizwa, inenayo mema kuliko ile ya Habili.


Yoshua akawaambia watu wote, Tazama, jiwe hili litakuwa shahidi juu yetu; kwa maana limesikia maneno yote ya BWANA aliyotuambia, basi litakuwa shahidi juu yenu, msije mkamkana Mungu wenu.


Wakalia kwa sauti kuu, wakisema, Ee Mola, Mtakatifu, na Mkweli, utakawia hadi lini kuhukumu na kuilipa damu yetu kwa hao wakaao juu ya nchi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo