Habakuki 2:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Wewe umeifanyia nyumba yako kusudi la aibu, kwa kukatilia mbali watu wengi, nawe umetenda dhambi juu ya roho yako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Lakini kwa mipango yako umeiaibisha jamaa yako. Kwa kuyaangamiza mataifa mengi, umeyaangamiza maisha yako mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Lakini kwa mipango yako umeiaibisha jamaa yako. Kwa kuyaangamiza mataifa mengi, umeyaangamiza maisha yako mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Lakini kwa mipango yako umeiaibisha jamaa yako. Kwa kuyaangamiza mataifa mengi, umeyaangamiza maisha yako mwenyewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Umepanga njama ya maangamizi ya watu wengi, ukiaibisha nyumba yako mwenyewe, na kupotewa na maisha yako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Umefanya shauri la maangamizi ya watu wengi, ukiaibisha nyumba yako mwenyewe, na kupotewa na maisha yako. Tazama sura |