Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Habakuki 1:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Je! Atawatoa walio katika wavu wake, asiache kuwaua watu wa mataifa daima?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 “Je, hawataacha kamwe kuvuta upinde wao? Je, wataendelea tu kuwanasa watu, na kuyaangamiza mataifa bila huruma?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 “Je, hawataacha kamwe kuvuta upinde wao? Je, wataendelea tu kuwanasa watu, na kuyaangamiza mataifa bila huruma?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 “Je, hawataacha kamwe kuvuta upinde wao? Je, wataendelea tu kuwanasa watu, na kuyaangamiza mataifa bila huruma?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Je, aendelee kuwatoa walio katika wavu wake, akiangamiza mataifa bila huruma?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Je, aendelee kuwatoa walio katika wavu wake, akiangamiza mataifa bila huruma?

Tazama sura Nakili




Habakuki 1:17
11 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA amelivunja gongo la wabaya, Fimbo ya enzi yao wenye kutawala.


Yeye aliyewapiga mataifa kwa ghadhabu, Kwa mapigo yasiyokoma; Aliyewatawala mataifa kwa hasira, Ameadhibiwa asizuie mtu.


Na wavuvi wataugua, na wote wavuao kwa ndoana watahuzunika, nao watandao jarife juu ya maji watazimia.


Kwa maana udhalimu uliotendwa juu ya Lebanoni utakufunikiza, na kuangamizwa kwao wanyama kutakutia hofu; kwa sababu ya damu ya watu, na kwa sababu ya udhalimu iliotendwa nchi hii, na mji huu, na watu wote wanaokaa ndani yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo