Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Habakuki 1:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 na kufanya wanadamu kuwa kama samaki wa baharini, kama vitu vitambaavyo, ambavyo havina mtawala?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 “Umewafanya watu kama samaki baharini, kama viumbe vitambaavyo visivyo na kiongozi!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 “Umewafanya watu kama samaki baharini, kama viumbe vitambaavyo visivyo na kiongozi!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 “Umewafanya watu kama samaki baharini, kama viumbe vitambaavyo visivyo na kiongozi!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Umewafanya watu kama samaki baharini, kama viumbe wa bahari wasio na mtawala.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Umewafanya watu kama samaki baharini, kama viumbe wa bahari wasio na mtawala.

Tazama sura Nakili




Habakuki 1:14
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana yeye hana kiongozi, Wala msimamizi, wala mkuu,


Tazama, asema BWANA, Nitatuma watu kuwaita wavuvi wengi, nao watawavua; na baada ya hayo nitatuma watu kuwaita wawindaji wengi, nao watawawinda, watoke katika kila mlima, na kila kilima, na pango za majabali.


Wewe uliye na macho safi hata usiweze kuangalia uovu, wewe usiyeweza kutazama ukaidi, mbona unawaangalia watendao kwa hila; na kunyamaza kimya, hapo mtu mwovu ammezapo mtu aliye mwenye haki kuliko yeye;


Yeye huwatoa wote kwa ndoana yake, huwakamata katika wavu wake, na kuwakusanya katika juya lake; ndiyo sababu afurahi na kupendezwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo