Ezra 8:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC28 Kisha nikawaambia, Ninyi mmekuwa watakatifu kwa BWANA, na hivyo vyombo ni vitakatifu; na fedha na dhahabu ni matoleo ya hiari kwa BWANA, Mungu wa baba zenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Kisha nikawaambia, “Nyinyi ni wakfu kwa Mwenyezi-Mungu. Kadhalika vyombo ni wakfu na fedha na dhahabu ni matoleo ya hiari kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zenu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Kisha nikawaambia, “Nyinyi ni wakfu kwa Mwenyezi-Mungu. Kadhalika vyombo ni wakfu na fedha na dhahabu ni matoleo ya hiari kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zenu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Kisha nikawaambia, “Nyinyi ni wakfu kwa Mwenyezi-Mungu. Kadhalika vyombo ni wakfu na fedha na dhahabu ni matoleo ya hiari kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zenu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 Niliwaambia, “Ninyi pamoja na vyombo hivi ni wakfu kwa Mwenyezi Mungu. Fedha na dhahabu ni sadaka ya hiari kwa Mwenyezi Mungu, Mungu wa baba zenu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 Niliwaambia, “Ninyi pamoja na vyombo hivi ni wakfu kwa bwana. Fedha na dhahabu ni sadaka ya hiari kwa bwana, Mungu wa baba zenu. Tazama sura |