Ezra 8:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC23 Basi tukafunga, tukamsihi Mungu wetu kwa ajili ya hayo; naye akatutakabali. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Kwa hiyo tulifunga na kumwomba Mungu atulinde, naye aliyasikia maombi yetu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Kwa hiyo tulifunga na kumwomba Mungu atulinde, naye aliyasikia maombi yetu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Kwa hiyo tulifunga na kumwomba Mungu atulinde, naye aliyasikia maombi yetu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Kwa hiyo tulifunga na kumwomba Mungu wetu kuhusu jambo hili, naye akajibu maombi yetu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Kwa hiyo tulifunga na kumwomba Mungu wetu kuhusu jambo hili, naye akajibu maombi yetu. Tazama sura |