Ezra 8:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 na Hashabia, na pamoja naye Yeshaya, wa wana wa Merari, na ndugu zake na wana wao, watu ishirini; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Walituletea pia Hashabia na Yeshaya, wote wa ukoo wa Merari, pamoja na ndugu zao ishirini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Walituletea pia Hashabia na Yeshaya, wote wa ukoo wa Merari, pamoja na ndugu zao ishirini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Walituletea pia Hashabia na Yeshaya, wote wa ukoo wa Merari, pamoja na ndugu zao ishirini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Naye Hashabia, pamoja na Yeshaya kutoka wazao wa Merari na ndugu zake na wapwa wake, walikuwa wanaume ishirini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Naye Hashabia, pamoja na Yeshaya kutoka wazao wa Merari na ndugu zake na wapwa wake wanaume ishirini. Tazama sura |