Ezra 5:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Lakini katika mwaka wa kwanza wa Koreshi, mfalme wa Babeli, Koreshi, mfalme, alitoa amri ijengwe tena nyumba ya Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Lakini mnamo mwaka wa kwanza wa utawala wake mfalme Koreshi wa Babuloni alitoa amri nyumba hii ya Mungu ijengwe upya. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Lakini mnamo mwaka wa kwanza wa utawala wake mfalme Koreshi wa Babuloni alitoa amri nyumba hii ya Mungu ijengwe upya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Lakini mnamo mwaka wa kwanza wa utawala wake mfalme Koreshi wa Babuloni alitoa amri nyumba hii ya Mungu ijengwe upya. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 “Pamoja na hayo, katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Koreshi mfalme wa Babeli, Mfalme Koreshi alitoa amri ya kujengwa upya nyumba hii ya Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 “Pamoja na hayo, katika mwaka wa kwanza wa kutawala Koreshi mfalme wa Babeli, Mfalme Koreshi alitoa amri ya kujengwa upya nyumba hii ya Mungu. Tazama sura |