Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezra 2:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Watu wa Nebo, hamsini na wawili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 wa mji wa Nebo: 52;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 wa mji wa Nebo: 52;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 wa mji wa Nebo: 52;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 wazao wa Nebo, hamsini na wawili (52);

Tazama sura Nakili




Ezra 2:29
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na wa wazawa wa Nebo; Yeieli, na Matithia, na Zabadi, na Zebina, na Ido, na Yoeli, na Benaya.


Watu wa Betheli, na Ai, mia mbili ishirini na watatu.


Watu wa Magbishi, mia moja hamsini na sita.


Watu wa Nebo, hamsini na wawili.


Wanapanda juu hata Bayithi na Diboni, mpaka mahali palipo juu ili walie; juu ya Nebo na juu ya Medeba Wamoabi wanalia; Wana upaa juu ya vichwa vyao vyote; kila ndevu zimenyolewa.


Kuhusu Moabu. BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Ole wake Nebo! Kwa maana umeharibika; Kiriathaimu umeaibishwa, umetwaliwa; Misgabu umeaibishwa, nao umebomolewa.


na juu ya Diboni, na juu ya Nebo, na juu ya Beth-diblathaimu;


Atarothi, na Diboni, na Yazeri, na Nimra, na Heshboni, na Eleale, na Sebamu, na Nebo na Beoni,


Kwea katika mlima huu wa Abarimu, mpaka kilima cha Nebo, kilicho katika nchi ya Moabu, kuelekea Yeriko; ukaangalie nchi ya Kanaani niwapayo wana wa Israeli kuimiliki;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo