Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezra 2:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Watu wa Betheli, na Ai, mia mbili ishirini na watatu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 wa mji wa Betheli na Ai: 223;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 wa mji wa Betheli na Ai: 223;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 wa mji wa Betheli na Ai: 223;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 watu wa Betheli na Ai, mia mbili na ishirini na watatu (223);

Tazama sura Nakili




Ezra 2:28
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akaondoka huko akaenda mpaka mlima ulio upande wa mashariki wa Betheli, akaipiga hema yake; Betheli ilikuwa upande wa magharibi, na Ai upande wa mashariki, akamjengea BWANA madhabahu huko, akaliitia jina la BWANA.


Watu wa Mikmashi, mia moja ishirini na wawili.


Watu wa Nebo, hamsini na wawili.


Watu wa Nebo, hamsini na wawili.


Omboleza, Ee Heshboni, Kwa maana Ai umeangamizwa; Lieni, enyi binti za Raba, Mjivike nguo za magunia; Ombolezeni, mkipiga mbio Huko na huko kati ya maboma; Maana Malkamu atakwenda kuhamishwa, Makuhani wake na wakuu wake pamoja.


Basi watu wa Betheli walikuwa wamewatuma Shareza na Regem-meleki, na watu wao, ili kuomba fadhili za BWANA,


Kisha Yoshua akatuma watu kutoka Yeriko mpaka mji wa Ai, ulio karibu na Beth-aveni, upande wa mashariki wa Betheli, akawaambia, akisema, Pandeni juu mkaipeleleze nchi, basi wakapanda juu wakaupeleleza Ai.


Hakusalia mtu yeyote ndani ya Ai, au katika Betheli, asiyetoka nje kuwafuatia Israeli; wakauacha mji wazi na kuwafuatia Israeli.


Basi Yoshua akawatuma; nao wakaenda hadi hapo watakapootea, wakakaa kati ya Betheli na Ai, upande wa magharibi wa Ai; lakini Yoshua akalala usiku huo kati ya watu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo