Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezra 10:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Na wa wazawa wa Bebai; Yehohanani, na Hanania, na Zakai, na Athlai.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Ukoo wa Bebai: Yehohanani, Hanania, Zabai na Athlai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Ukoo wa Bebai: Yehohanani, Hanania, Zabai na Athlai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Ukoo wa Bebai: Yehohanani, Hanania, Zabai na Athlai.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Kutoka uzao wa Bebai: Yehohanani, Hanania, Zabai na Athlai.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Kutoka uzao wa Bebai: Yehohanani, Hanania, Zabai na Athlai.

Tazama sura Nakili




Ezra 10:28
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na wa wazawa wa Zatu; Elioenai, na Eliashibu, na Matania, na Yeremothi, na Zabadi, na Aziza.


Na wa wazawa wa Bani; Meshulamu, na Maluki, na Adaya, na Yashubu, na Sheali, na Yeremothi.


Wazawa wa Bebai, mia sita ishirini na watatu.


Na wa wana wa Bebai, Zekaria, mwana wa Bebai; na pamoja naye wanaume ishirini na wanane.


Baada yake Baruku, mwana wa Zakai, akajenga kwa bidii sehemu nyingine, kutoka pembeni mwa ukuta mpaka mlango wa nyumba ya Eliashibu, kuhani mkuu.


Wana wa Bebai, mia sita ishirini na wanane.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo