Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezra 10:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Na wa Walawi; Yozabadi, na Shimei, na Kelaya (ndiye Kelita), na Pethahia, na Yuda, na Eliezeri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (aliyejulikana pia kama Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (aliyejulikana pia kama Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (aliyejulikana pia kama Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Miongoni mwa Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (ndiye Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Miongoni mwa Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (ndiye Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.

Tazama sura Nakili




Ezra 10:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na wa wazawa wa Pashuri; Elioenai, na Maaseya, na Ishmaeli, na Nethaneli, na Yozabadi, na Elasa.


Na wa waimbaji; Eliashibu. Na wa mabawabu; Shalumu, na Telemu, na Uri.


Hata siku ya nne, hizo fedha na dhahabu na vile vyombo vilipimwa ndani ya nyumba ya Mungu, vikatiwa mikononi mwa Meremothi, mwana wa Uria, kuhani; na pamoja naye alikuwapo Eleazari, mwana wa Finehasi; na pamoja nao Yozabadi, mwana wa Yeshua, na Noadia, mwana wa Binui, Walawi;


na ndugu zao, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani;


na Shabethai na Yozabadi, wa wakuu wa Walawi, walioisimamia kazi ya nje ya nyumba ya Mungu;


Tena Yeshua, na Bani, na Sherebia, na Yamini, na Akubu, na Shabethai, na Hodai, na Maaseya, na Kelita, na Azaria, na Yozabadi, na Hanani, na Pelaya, nao ni Walawi, wakawafahamisha watu torati; na watu wakasimama mahali pao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo