Ezekieli 8:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Ndipo akaniambia, Mwanadamu, toboa sasa katika ukuta huu; nami nilipotoboa, tazama, pana mlango. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Naye akaniambia, “Wewe mtu, toboa ukuta huu.” Nami, nikatoboa, nikaona kulikuwa na mlango. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Naye akaniambia, “Wewe mtu, toboa ukuta huu.” Nami, nikatoboa, nikaona kulikuwa na mlango. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Naye akaniambia, “Wewe mtu, toboa ukuta huu.” Nami, nikatoboa, nikaona kulikuwa na mlango. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Akaniambia, “Mwanadamu, sasa toboa ukuta huu.” Ndipo nikatoboa ule ukuta, nikaona hapo pana mlango. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Akaniambia, “Mwanadamu, sasa toboa kwenye ukuta huu.” Ndipo nikatoboa ule ukuta, nikaona hapo pana mlango. Tazama sura |