Ezekieli 8:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Akaniambia, Mwanadamu umeyaona haya? Utaona tena machukizo makubwa kuliko hayo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Mungu akaniambia: “Wewe mtu, umeyaona hayo? Bado utaona machukizo mengine makubwa kuliko hayo.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Mungu akaniambia: “Wewe mtu, umeyaona hayo? Bado utaona machukizo mengine makubwa kuliko hayo.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Mungu akaniambia: “Wewe mtu, umeyaona hayo? Bado utaona machukizo mengine makubwa kuliko hayo.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Akaniambia, “Je, mwanadamu, unaliona hili? Utayaona mambo yanayochukiza hata zaidi.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Akaniambia, “Unaliona hili, mwanadamu? Utaona vitu ambavyo ni machukizo kuliko hili.” Tazama sura |