Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 8:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Ndipo akanileta mpaka maingilio ya lango la kaskazini mwa nyumba ya BWANA, ulioelekea upande wa kaskazini, na tazama, wanawake wameketi wakimlilia Tamuzi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Kisha akanichukua mpaka lango la kaskazini la nyumba ya Mwenyezi-Mungu. Huko kulikuwa na wanawake wameketi wakimwombolezea Tamuzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Kisha akanichukua mpaka lango la kaskazini la nyumba ya Mwenyezi-Mungu. Huko kulikuwa na wanawake wameketi wakimwombolezea Tamuzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Kisha akanichukua mpaka lango la kaskazini la nyumba ya Mwenyezi-Mungu. Huko kulikuwa na wanawake wameketi wakimwombolezea Tamuzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Ndipo akanileta kwenye ingilio la lango la kaskazini la nyumba ya Mwenyezi Mungu, nami nikaona wanawake wameketi hapo, wakimwombolezea Tamuzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Ndipo akanileta mpaka ingilio la lango la kaskazini la nyumba ya bwana, nami nikaona wanawake wameketi hapo, wakimwombolezea Tamuzi.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 8:14
5 Marejeleo ya Msalaba  

nanyi mtajua ya kuwa mimi ni BWANA; kwa maana hamuendi katika amri zangu, wala hamkuzishika hukumu zangu, bali mmetenda mambo kama hukumu za mataifa wanaowazunguka.


Kisha akanileta, kwa njia ya lango la upande wa kaskazini, mbele ya nyumba; nikaangalia, na tazama, huo utukufu wa BWANA uliijaza nyumba ya BWANA; nikaanguka kifudifudi.


Lakini watu wa nchi watakapokuja mbele za BWANA katika sikukuu zilizoamriwa, yeye aingiaye kwa njia ya lango la upande wa kaskazini ili kuabudu, atatoka kwa njia ya lango la upande wa kusini; na yeye aingiaye kwa njia ya lango la upande wa kusini, atatoka kwa njia ya lango la upande wa kaskazini; hatarudi kwa njia ya lango aliloingia kwalo, lakini atatoka kwa kwenda mbele moja kwa moja.


Akaniambia tena, Utaona tena machukizo makubwa mengine wanayoyatenda.


Akaniambia, Mwanadamu umeyaona haya? Utaona tena machukizo makubwa kuliko hayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo