Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 8:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Akaniambia tena, Utaona tena machukizo makubwa mengine wanayoyatenda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Tena akaniambia, “Bado utaona machukizo makubwa zaidi wanayotenda.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Tena akaniambia, “Bado utaona machukizo makubwa zaidi wanayotenda.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Tena akaniambia, “Bado utaona machukizo makubwa zaidi wanayotenda.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Akasema tena, “Utawaona wakifanya mambo yaliyo chukizo zaidi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Akasema tena, “Bado utaona machukizo wanayofanya ambayo ni makubwa kuliko haya.”

Tazama sura Nakili




Ezekieli 8:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Huupinda ulimi wao, kana kwamba ni upinde, ili kusema uongo; nao wamepata nguvu katika nchi, lakini si katika uaminifu; maana huendelea toka ubaya hata ubaya, wala hawanijui mimi, asema BWANA.


Kisha akaniambia, Mwanadamu, umeyaona wanayotenda wazee wa nyumba ya Israeli gizani, kila mtu ndani ya vyumba vyake vya sanamu? Maana husema, BWANA hatuoni; BWANA ameiacha nchi hii.


Ndipo akanileta mpaka maingilio ya lango la kaskazini mwa nyumba ya BWANA, ulioelekea upande wa kaskazini, na tazama, wanawake wameketi wakimlilia Tamuzi.


Akaniambia, Mwanadamu umeyaona haya? Utaona tena machukizo makubwa kuliko hayo.


Akaniambia, Mwanadamu, je! Unayaona wanayoyafanya, yaani, haya machukizo makubwa wanayoyafanya nyumba ya Israeli hapa, ili niende zangu mbali na patakatifu pangu? Lakini utaona tena machukizo makubwa mengine.


Lakini watu waovu na wadanganyaji wataendelea, na kuzidi kuwa waovu, wakidanganya na kudanganyika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo