Ezekieli 5:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 basi, Bwana MUNGU asema hivi; Angalia, mimi, naam, mimi, ni juu yako; nami nitafanya hukumu kati yako machoni pa mataifa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 basi, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Nitazitekeleza hukumu zangu dhidi yenu mbele ya mataifa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 basi, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Nitazitekeleza hukumu zangu dhidi yenu mbele ya mataifa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 basi, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Nitazitekeleza hukumu zangu dhidi yenu mbele ya mataifa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 “Kwa hiyo, hili ndilo asemalo Bwana Mungu Mwenyezi: Mimi mwenyewe niko kinyume nawe, Yerusalemu, na nitakupiga kwa adhabu yangu mbele ya mataifa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 “Kwa hiyo, hili ndilo bwana Mwenyezi asemalo, Mimi mwenyewe, niko kinyume nanyi Yerusalemu, nitawapiga kwa adhabu yangu mbele ya mataifa. Tazama sura |