Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezekieli 5:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Nawe utatwaa tena baadhi ya hizo, na kuzitupa katikati ya moto, na kuziteketeza katika moto huo; kutoka nywele hizo moto utakuja na kuingia katika nyumba yote ya Israeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Lakini chukua pia nywele kidogo uzitupe motoni na kuziteketeza. Moto utatokea humo na kuwaunguza watu wote wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Lakini chukua pia nywele kidogo uzitupe motoni na kuziteketeza. Moto utatokea humo na kuwaunguza watu wote wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Lakini chukua pia nywele kidogo uzitupe motoni na kuziteketeza. Moto utatokea humo na kuwaunguza watu wote wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Tena chukua nywele nyingine chache uzitupe motoni uziteketeze. Moto utaenea kutoka hapo na kufika katika nyumba yote ya Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Tena chukua nywele nyingine chache uzitupe motoni uziteketeze. Moto utaenea kutoka humo na kufika katika nyumba yote ya Israeli.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 5:4
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini ikawa katika mwezi wa saba Ishmaeli mwana wa Nethania, mwana wa Elishama, mmoja wa wazao wa kifalme, na watu kumi pamoja naye, wakamwendea Gedalia, wakampiga hata akafa, na hao Wayahudi na Wakaldayo waliokuwa pamoja naye huko Mispa.


Jitahirini kwa BWANA, mkayaondoe magovi ya mioyo yenu, enyi watu wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu; ghadhabu yangu isije ikatoka kama moto, ikawaka hata mtu asiweze kuizima, kwa sababu ya uovu wa matendo yenu.


Wamekimbia, wasio na nguvu Wanasimama chini ya kivuli cha Heshboni; Ila moto umetoka katika Heshboni, Na muali wa moto toka kati ya Sihoni Nao umekula pembe ya Moabu, Na utosi wa kichwa wa watu wapigao kelele.


katika mwaka wa ishirini na tatu wa Nebukadneza, Nebuzaradani, mkuu wa askari walinzi, akawachukua mateka katika Wayahudi watu mia saba na arubaini na watano; jumla ya watu hao wote ni watu elfu nne na mia sita.


Nawe twaa nywele chache katika hizo, na kuzifunga katika upindo wa mavazi yako.


Bwana MUNGU asema hivi; Huu ndio Yerusalemu; nimeuweka kati ya mataifa, na nchi zauzunguka pande zote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo