Ezekieli 48:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Na mpakani mwa Reubeni, toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Yuda, fungu moja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Eneo linalopakana na eneo la Reubeni, kutoka mashariki hadi magharibi litakuwa la kabila la Yuda. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Eneo linalopakana na eneo la Reubeni, kutoka mashariki hadi magharibi litakuwa la kabila la Yuda. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Eneo linalopakana na eneo la Reubeni, kutoka mashariki hadi magharibi litakuwa la kabila la Yuda. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Yuda atakuwa na sehemu moja; itapakana na nchi ya Reubeni kuanzia mashariki hadi magharibi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Yuda atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Reubeni kuanzia mashariki hadi magharibi. Tazama sura |