Ezekieli 48:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Na mpakani mwa Efraimu, toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Reubeni, fungu moja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Eneo linalopakana na eneo la Efraimu, kutoka mashariki hadi magharibi, litakuwa la kabila la Reubeni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Eneo linalopakana na eneo la Efraimu, kutoka mashariki hadi magharibi, litakuwa la kabila la Reubeni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Eneo linalopakana na eneo la Efraimu, kutoka mashariki hadi magharibi, litakuwa la kabila la Reubeni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Reubeni atakuwa na sehemu moja; itapakana na nchi ya Efraimu kuanzia mashariki hadi magharibi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Reubeni atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Efraimu kuanzia mashariki hadi magharibi. Tazama sura |