Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezekieli 48:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Na mpakani mwa Manase, toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Efraimu, fungu moja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Eneo linalopakana na eneo la Manase, kutoka upande wa mashariki hadi magharibi, litakuwa la kabila la Efraimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Eneo linalopakana na eneo la Manase, kutoka upande wa mashariki hadi magharibi, litakuwa la kabila la Efraimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Eneo linalopakana na eneo la Manase, kutoka upande wa mashariki hadi magharibi, litakuwa la kabila la Efraimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Efraimu atakuwa na sehemu moja; itapakana na nchi ya Manase kuanzia mashariki hadi magharibi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Efraimu atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Manase kuanzia mashariki hadi magharibi.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 48:5
4 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana MUNGU asema hivi; Huu ndio mpaka ambao mtaigawanya nchi iwe urithi sawasawa na makabila kumi na mawili ya Israeli; kwa Yusufu, mafungu mawili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo