Ezekieli 48:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Na mpakani mwa Naftali, toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Manase, fungu moja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Baada ya eneo la kabila la Naftali, litafuata eneo la kabila la Manase, kutoka mashariki hadi magharibi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Baada ya eneo la kabila la Naftali, litafuata eneo la kabila la Manase, kutoka mashariki hadi magharibi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Baada ya eneo la kabila la Naftali, litafuata eneo la kabila la Manase, kutoka mashariki hadi magharibi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Manase atakuwa na sehemu moja; itapakana na nchi ya Naftali kuanzia mashariki hadi magharibi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Manase atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Naftali kuanzia mashariki hadi magharibi. Tazama sura |