Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 48:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

34 Na upande wa magharibi, mianzi elfu nne na mia tano; pamoja na malango yake matatu; lango la Gadi, lango la Asheri; na lango la Naftali.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Ukuta wa upande wa magharibi utakuwa na urefu wa mita 2,250. Upande huo nao utakuwa na malango matatu: Lango la Gadi, lango la Asheri na lango la Naftali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Ukuta wa upande wa magharibi utakuwa na urefu wa mita 2,250. Upande huo nao utakuwa na malango matatu: Lango la Gadi, lango la Asheri na lango la Naftali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Ukuta wa upande wa magharibi utakuwa na urefu wa mita 2,250. Upande huo nao utakuwa na malango matatu: lango la Gadi, lango la Asheri na lango la Naftali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Upande wa magharibi, wenye urefu wa dhiraa elfu nne na mia tano, utakuwa na malango matatu: lango la Gadi, lango la Asheri na lango la Naftali.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Upande wa magharibi, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Gadi, lango la Asheri na lango la Naftali.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 48:34
2 Marejeleo ya Msalaba  

Na upande wa kusini, mianzi elfu nne na mia tano kwa kupima; na malango matatu; lango la Simeoni; lango la Isakari, lango la Zabuloni.


Kuuzunguka ni mianzi elfu kumi na nane; na jina la mji huo tangu siku hiyo litakuwa hili, BWANA yupo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo