Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 48:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

33 Na upande wa kusini, mianzi elfu nne na mia tano kwa kupima; na malango matatu; lango la Simeoni; lango la Isakari, lango la Zabuloni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Ukuta wa upande wa kusini utakuwa na urefu wa mita 2,250. Upande huo utakuwa na malango matatu: Lango la Simeoni, lango la Isakari na lango la Zebuluni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Ukuta wa upande wa kusini utakuwa na urefu wa mita 2,250. Upande huo utakuwa na malango matatu: Lango la Simeoni, lango la Isakari na lango la Zebuluni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Ukuta wa upande wa kusini utakuwa na urefu wa mita 2,250. Upande huo utakuwa na malango matatu: lango la Simeoni, lango la Isakari na lango la Zebuluni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Upande wa kusini, wenye urefu wa dhiraa elfu nne na mia tano, utakuwa na malango matatu: lango la Simeoni, lango la Isakari na lango la Zabuloni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Upande wa kusini, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Simeoni, lango la Isakari na lango la Zabuloni.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 48:33
2 Marejeleo ya Msalaba  

Na upande wa mashariki, mianzi elfu nne na mia tano, kwa kipimo; na malango matatu; lango la Yusufu, lango la Benyamini; lango la Dani.


Na upande wa magharibi, mianzi elfu nne na mia tano; pamoja na malango yake matatu; lango la Gadi, lango la Asheri; na lango la Naftali.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo