Ezekieli 48:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC32 Na upande wa mashariki, mianzi elfu nne na mia tano, kwa kipimo; na malango matatu; lango la Yusufu, lango la Benyamini; lango la Dani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Ukuta wa Mashariki utakuwa na urefu wa mita 2,250. Upande huo utakuwa na malango matatu: Lango la Yosefu, lango la Benyamini na lango la Dani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Ukuta wa Mashariki utakuwa na urefu wa mita 2,250. Upande huo utakuwa na malango matatu: Lango la Yosefu, lango la Benyamini na lango la Dani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Ukuta wa Mashariki utakuwa na urefu wa mita 2,250. Upande huo utakuwa na malango matatu: lango la Yosefu, lango la Benyamini na lango la Dani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Upande wa mashariki, wenye urefu wa dhiraa elfu nne na mia tano, utakuwa na malango matatu: lango la Yusufu, lango la Benyamini na lango la Dani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Upande wa mashariki, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Yusufu, lango la Benyamini na lango la Dani. Tazama sura |