Ezekieli 48:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 na malango ya mji yatatajwa kwa majina ya makabila ya Israeli, malango matatu upande wa kaskazini; lango la Reubeni, moja; lango la Yuda, moja; na lango la Lawi, moja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 utakuwa na malango matatu: Lango la Reubeni, lango la Yuda na lango la Lawi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 utakuwa na malango matatu: Lango la Reubeni, lango la Yuda na lango la Lawi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 utakuwa na malango matatu: lango la Reubeni, lango la Yuda na lango la Lawi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 malango hayo ya mji yatapewa majina ya makabila ya Israeli. Malango hayo matatu ya upande wa kaskazini moja litakuwa lango la Reubeni, lango la Yuda na lango la Lawi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 malango hayo ya mji yatapewa majina ya makabila ya Israeli. Malango hayo matatu ya upande wa kaskazini moja litakuwa lango la Reubeni, lango la Yuda na lango la Lawi. Tazama sura |