Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 48:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Tena mpakani mwa Benyamini, toka upande wa mashariki hata upande wa magharibi; Simeoni, fungu moja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Eneo linalopakana na eneo la Benyamini kutoka upande wa mashariki kuelekea upande wa magharibi litakuwa la kabila la Simeoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Eneo linalopakana na eneo la Benyamini kutoka upande wa mashariki kuelekea upande wa magharibi litakuwa la kabila la Simeoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Eneo linalopakana na eneo la Benyamini kutoka upande wa mashariki kuelekea upande wa magharibi litakuwa la kabila la Simeoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Simeoni atakuwa na sehemu moja; itakayopakana na nchi ya Benyamini kuanzia mashariki hadi magharibi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Simeoni atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Benyamini kuanzia mashariki hadi magharibi.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 48:24
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akapata mimba tena akazaa mwana, akasema, Kwa kuwa BWANA amesikia ya kwamba mimi sikupendwa, amenipa na huyu; akamwita jina lake Simeoni.


Na katika kabila la wana wa Simeoni, Shemueli mwana wa Amihudi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo