Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 48:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Na katika habari za kabila zilizosalia; toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Benyamini, fungu moja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Makabila yaliyobaki yatagawiwa maeneo yao hivi: Kabila la Benyamini litapewa eneo kutoka mashariki hadi magharibi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Makabila yaliyobaki yatagawiwa maeneo yao hivi: Kabila la Benyamini litapewa eneo kutoka mashariki hadi magharibi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Makabila yaliyobaki yatagawiwa maeneo yao hivi: Kabila la Benyamini litapewa eneo kutoka mashariki hadi magharibi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 “Kuhusu makabila yaliyobaki: “Benyamini atakuwa na sehemu moja; itakayoanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 “Kuhusu makabila yaliyobaki: “Benyamini atakuwa na sehemu moja, itakayoanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 48:23
5 Marejeleo ya Msalaba  

Tena tokea milki ya Walawi, na tokea milki ya mji, kwa kuwa ni katikati ya nchi iliyo ya mkuu, katikati ya mpaka wa Yuda na mpaka wa Benyamini, itakuwa ya mkuu.


Kisha ilizuka kura ya kabila la wana wa Benyamini kwa kulingana na jamaa zao; na mpaka wa hiyo kura yao ukatokea kati ya wana wa Yuda na wana wa Yusufu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo