Ezekieli 48:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Na hao wafanyao kazi mjini, wa kabila zote za Israeli, watailima nchi hiyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Wafanyakazi wa mjini wa kabila lolote la Israeli wanaweza kulima katika eneo hilo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Wafanyakazi wa mjini wa kabila lolote la Israeli wanaweza kulima katika eneo hilo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Wafanyakazi wa mjini wa kabila lolote la Israeli wanaweza kulima katika eneo hilo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Watumishi wa mji wanaolima shamba hili watatoka katika makabila yote ya Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Watumishi wa mji wanaolima shamba hili watatoka katika makabila yote ya Israeli. Tazama sura |