Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 48:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Nao mji utakuwa na malisho; upande wa kaskazini mianzi mia mbili na hamsini, na upande wa kusini mianzi mia mbili na hamsini, na upande wa mashariki mianzi mia mbili na hamsini, na upande wa magharibi mianzi mia mbili na hamsini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Kuuzunguka mji, kutakuwa na eneo wazi lenye upana wa mita 125.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Kuuzunguka mji, kutakuwa na eneo wazi lenye upana wa mita 125.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Kuuzunguka mji, kutakuwa na eneo wazi lenye upana wa mita 125.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Eneo la malisho kwa ajili ya mji litakuwa na eneo la dhiraa mia mbili na hamsini upande wa kaskazini, dhiraa mia mbili na hamsini upande wa kusini, dhiraa mia mbili na hamsini upande wa mashariki, na dhiraa mia mbili na hamsini upande wa magharibi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Sehemu ya malisho kwa ajili ya mji itakuwa na eneo la dhiraa 250 upande wa kaskazini, dhiraa 250 upande wa kusini, dhiraa 250 upande wa mashariki na dhiraa 250 upande wa magharibi.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 48:17
2 Marejeleo ya Msalaba  

Na vipimo vyake ni hivi; upande wa kaskazini mianzi elfu nne na mia tano, na upande wa kusini mianzi elfu nne na mia tano, na upande wa mashariki mianzi elfu nne na mia tano, na upande wa magharibi mianzi elfu nne na mia tano.


Na mabaki ya urefu wake yaelekeayo matoleo matakatifu, upande wa mashariki yatakuwa mianzi elfu kumi, na upande wa magharibi mianzi elfu kumi; nayo yatakuwa sawasawa na matoleo matakatifu; na mazao yake yatakuwa ni chakula cha watu wafanyao kazi humo mjini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo