Ezekieli 48:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Na vipimo vyake ni hivi; upande wa kaskazini mianzi elfu nne na mia tano, na upande wa kusini mianzi elfu nne na mia tano, na upande wa mashariki mianzi elfu nne na mia tano, na upande wa magharibi mianzi elfu nne na mia tano. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 nao utakuwa wa mraba, kila upande mita 2,250. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 nao utakuwa wa mraba, kila upande mita 2,250. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 nao utakuwa wa mraba, kila upande mita 2,250. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 nao utakuwa na vipimo hivi: upande wa kaskazini dhiraa elfu nne na mia tano, upande wa kusini dhiraa elfu nne na mia tano, upande wa mashariki dhiraa elfu nne na mia tano, na upande wa magharibi dhiraa elfu nne na mia tano. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 nao utakuwa na vipimo hivi: upande wa kaskazini dhiraa 4,500, upande wa kusini dhiraa 4,500, upande wa mashariki dhiraa 4,500 na upande wa magharibi dhiraa 4,500. Tazama sura |