Ezekieli 47:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Akaniambia, Mwanadamu, je! Umeona haya? Kisha akanichukua akanirudisha mpaka ukingo wa mto. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Yule mtu akaniambia, “Wewe mtu! Zingatia mambo hayo yote kwa makini.” Kisha, akanirudisha mpaka ukingo wa mto. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Yule mtu akaniambia, “Wewe mtu! Zingatia mambo hayo yote kwa makini.” Kisha, akanirudisha mpaka ukingo wa mto. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Yule mtu akaniambia, “Wewe mtu! Zingatia mambo hayo yote kwa makini.” Kisha, akanirudisha mpaka ukingo wa mto. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Akaniuliza, “Je, mwanadamu, unaona hili?” Kisha akanirudisha kwenye ukingo wa huo mto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Akaniuliza, “Je, mwanadamu, unaona hili?” Kisha akanirudisha mpaka kwenye ukingo wa huo mto. Tazama sura |