Ezekieli 47:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Na alipotoka mtu yule, mwenye uzi wa kupimia mkononi mwake, akielekea mashariki, akapima dhiraa elfu moja, akanivusha maji yale; maji yakafika mpaka katika vifundo vya miguu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Yule mtu, kwa ufito wake wa kupimia, akapima mita 500 kwenda chini upande wa mashariki, akanipitisha kwenye maji. Maji yalifika kwenye nyayo tu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Yule mtu, kwa ufito wake wa kupimia, akapima mita 500 kwenda chini upande wa mashariki, akanipitisha kwenye maji. Maji yalifika kwenye nyayo tu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Yule mtu, kwa ufito wake wa kupimia, akapima mita 500 kwenda chini upande wa mashariki, akanipitisha kwenye maji. Maji yalifika kwenye nyayo tu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Mtu yule alipoenda upande wa mashariki akiwa na kamba ya kupimia mkononi mwake, akapima dhiraa elfu moja, kisha akanipitisha kwenye hayo maji ambayo yalifika kwenye vifundo vya miguu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Mtu yule alipokwenda upande wa mashariki akiwa na kamba ya kupimia mkononi mwake, akapima dhiraa 1,000 kisha akanipitisha kwenye hayo maji ambayo yalifika kwenye vifundo vya miguu. Tazama sura |