Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 46:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Naye mkuu atakapoingia, ataingia kwa njia ya ukumbi wa lango lile, naye atatoka kwa njia iyo hiyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 “Mtawala anapotoka ni lazima auache ukumbi kwa njia ileile aliyoingia nayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 “Mtawala anapotoka ni lazima auache ukumbi kwa njia ileile aliyoingia nayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 “Mtawala anapotoka ni lazima auache ukumbi kwa njia ileile aliyoingia nayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Mkuu anayetawala atakapoingia, atapitia kwenye baraza ya njia ya lango, naye atatoka nje kwa njia hiyo hiyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Wakati mkuu anayetawala aingiapo, atapitia kwenye baraza ya njia ya lango, naye atatoka nje kwa njia hiyo hiyo.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 46:8
3 Marejeleo ya Msalaba  

Naye mkuu ataingia kwa njia ya ukumbi wa lango lile, upande wa nje, naye atasimama karibu na mwimo wa lango, nao makuhani wataitengeneza sadaka yake ya kuteketezwa, na sadaka zake za amani, naye ataabudu penye kizingiti cha lango; kisha atatoka; lakini lango lile halitafungwa hadi wakati wa jioni.


Naye ndiye kichwa cha mwili, yaani, cha kanisa; naye ni mwanzo, ni mzaliwa wa kwanza katika wafu, ili kwamba awe mtangulizi katika yote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo