Ezekieli 46:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Naye mkuu atakapoingia, ataingia kwa njia ya ukumbi wa lango lile, naye atatoka kwa njia iyo hiyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 “Mtawala anapotoka ni lazima auache ukumbi kwa njia ileile aliyoingia nayo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 “Mtawala anapotoka ni lazima auache ukumbi kwa njia ileile aliyoingia nayo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 “Mtawala anapotoka ni lazima auache ukumbi kwa njia ileile aliyoingia nayo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Mkuu anayetawala atakapoingia, atapitia kwenye baraza ya njia ya lango, naye atatoka nje kwa njia hiyo hiyo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Wakati mkuu anayetawala aingiapo, atapitia kwenye baraza ya njia ya lango, naye atatoka nje kwa njia hiyo hiyo. Tazama sura |