Ezekieli 46:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Ndipo akaniambia, Hizi ni nyumba za kutokosea, ambamo wahudumu wa nyumba watatokosa sadaka za watu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Yule mtu akaniambia: “Haya ni majiko ambako watumishi wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu watachemsha sadaka wanazoleta watu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Yule mtu akaniambia: “Haya ni majiko ambako watumishi wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu watachemsha sadaka wanazoleta watu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Yule mtu akaniambia: “Haya ni majiko ambako watumishi wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu watachemsha sadaka wanazoleta watu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Akaniambia, “Hizi ndizo sehemu za kupikia ambazo wale wanaohudumu kwenye Hekalu watatokosea dhabihu za watu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Akaniambia, “Hizi ndizo sehemu za kupikia ambazo wale wanaohudumu kwenye Hekalu watatokosea dhabihu za watu.” Tazama sura |