Ezekieli 46:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Hivyo ndivyo watakavyomtoa mwana-kondoo, na sadaka ya unga, na mafuta, kila siku asubuhi, kuwa sadaka ya kuteketezwa ya daima. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Mwanakondoo, unga na mafuta ni lazima vitolewe kila siku asubuhi kwa Mwenyezi-Mungu milele. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Mwanakondoo, unga na mafuta ni lazima vitolewe kila siku asubuhi kwa Mwenyezi-Mungu milele. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Mwanakondoo, unga na mafuta ni lazima vitolewe kila siku asubuhi kwa Mwenyezi-Mungu milele. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Kwa hiyo mwana-kondoo na sadaka ya nafaka na mafuta vitatolewa kila siku asubuhi kwa ajili ya sadaka ya daima ya kuteketezwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Kwa hiyo mwana-kondoo na sadaka ya nafaka na mafuta vitatolewa kila siku asubuhi kwa ajili ya sadaka ya daima ya kuteketezwa. Tazama sura |