Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ezekieli 46:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Naye mkuu atakapoingia, ataingia katikati yao, nao, watakapotoka, watatoka wote pamoja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Mtawala ataingia ndani watu wanapoingia, na atatoka wanapotoka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Mtawala ataingia ndani watu wanapoingia, na atatoka wanapotoka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Mtawala ataingia ndani watu wanapoingia, na atatoka wanapotoka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Mkuu anayetawala atakuwa miongoni mwao, akiingia nao ndani wanapoingia, na akitoka nao nje wanapotoka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Mkuu anayetawala atakuwa miongoni mwao, akiingia nao ndani wanapoingia, naye atatoka nao nje wanapotoka.

Tazama sura Nakili




Ezekieli 46:10
16 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Daudi akawaambia kusanyiko lote, Haya, mhimidini BWANA, Mungu wenu. Basi kusanyiko lote wakamhimidi BWANA, Mungu wa baba zao, wakainamisha vichwa vyao, wakamsujudia BWANA, na mfalme naye.


wakala na kunywa mbele za BWANA siku ile, kwa furaha kuu. Wakamtawaza Sulemani, mwana wa Daudi, mara ya pili, wakamtia mafuta mbele za BWANA, awe mkuu, na Sadoki awe kuhani.


Nayakumbuka mambo haya kwa uchungu moyoni mwangu, Jinsi nilivyokuwa nikienda na mkutano, Na kuwaongoza hadi katika nyumba ya Mungu, Kwa sauti ya furaha na kusifu, mkutano wa sikukuu.


Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao.


na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.


bali Kristo, kama mwana, juu ya nyumba ya Mungu; ambaye nyumba yake ni sisi, kama tukishikamana sana na ujasiri wetu na fahari ya tumaini letu mpaka mwisho.


Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kulia, yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo